Utengenezaji wa kigae cha mkonge ukiendelea kwa kutumia mashine mtetemo ipatikanayo NHBRA |
Kigae mkonge kikiwa kwenye kalibu kwa ajili ya kupata umbo na baada ya masaa 24 kuingizwa kwenye maji kwa ajili ya kukikomaza |
Vigae vikiwa tayari kwa matumizi |
0679972715
au
Barua pepe: dawatilamsaada@nhbra.go.tz
au
Fika ofisini kwetu Mwenge tunapakana na kituo cha mafuta cha Oilcom
No comments:
Post a Comment