Monday 11 December 2017

SHULE ZA SEKONDARI TABORA ''BOYS'' NA TABORA ''GIRLS'' ZANEEMEKA

Katika maboresho yanayofanyika kwenye shule kongwe za Serikali NHBRA ilipata nafasi ya kusimamia ukarabati wa majengo ya Shule za Tabora ''boys'' pamoja na Tabora ''girls''. Zifuatazo ni baadhi ya picha zikionyesha maeneo yaliyofanyiwa ukarabati huo;

Maabara ya Kemia iliyofanyiwa ukarabati na NHBRA katika Shule ya Sekondari Tabora ''girls''

Muonekano wa ndani wa jengo jipya la maktaba ya kisasa lililojengwa na NHBRA katika Shule ya Sekondari Tabora ''boys''

Muonekano wa nje wa maktaba iliyojengwa na NHBRA Shuleni Tabora ''boys''

VIGAE VIPATIKANAVYO NHBRA


Utengenezaji wa kigae cha mkonge ukiendelea kwa kutumia mashine mtetemo ipatikanayo NHBRA

Kigae mkonge kikiwa kwenye kalibu kwa ajili ya kupata umbo na baada ya masaa 24 kuingizwa kwenye maji kwa ajili ya kukikomaza

Vigae vikiwa tayari kwa matumizi
Kwa mawasiliano zaidi, usisite kututafuta kwa namba ifuatayo;

0679972715
au

Barua pepe: dawatilamsaada@nhbra.go.tz
au

Fika ofisini kwetu Mwenge tunapakana na kituo cha mafuta cha Oilcom