Thursday 23 February 2017

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI CHAFANYIKA NHBRA

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi NHBRA wamekutana ili kujadili mambo mbalimbali yanayohusu utendaji wenye tija katika kuimarisha ukuaji wa Wakala pamoja na wafanyakazi wake.

Katibu wa Baraza la Wafanyakazi NHBRA Mhandisi Twwimanye John akimkaribisha Mwenyekiti wa Baraza hilo Dkt. Matiko S. Mturi (wa kwanza kulia) ili amkaribishe mgeni rasmi.
Mwenyekiti wa Baraza, Dkt Mturi (aliyesimama) akimkaribisha Mgeni Rasmi kwa ajili ya ufunguzi rasmi wa kikao hicho
Mgeni rasmi, Mhandisi Amani Msuya akihutubia wajumbe wa Baraza wakati wa ufunguzi wa kikao hicho

 

Mgeni Rasmi akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi mapema leo tarehe 23/02/2017 NHBRA-Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment