Friday 24 February 2017

MWENDELEZO WA KIKAO CHA BARAZA MAPEMA HII LEO TAREHE 24/02/2017

Katika kuboresha ukuaji wa Wakala na wafanyakazi wake kwa ujumla Baraza la wafanyakazi limekutana tena hii leo ili kujadili mstakabadhi huo ambao utaleta manufaa kwa Wakala, wafanyakazi na Taifa kwa ujumla. (habari katika picha)




No comments:

Post a Comment