Tuesday 7 February 2017

UNUNUZI WA VIFAA VYA UJENZI VIPATIKANAVYO NHBRA

Wateja wengi wamekuwa wakijiuliza namna ya kupata na kununua vifaa vyetu vya ujenzi hasahasa kama wako mikoani.
Jibu la swali hilo ni:

Unatakiwa uingize hela ya mashine na ya usafiri kwa eneo ulipo kwenye akaunti ya NHBRA ambayo ni A/C No. 20101100130 National Micro Finance Bank (NMB) na kutuma risiti ya benki NHBRA ikiwa na anuani yako kamili. Baada ya hapo utatumiwa mashine yako.

Pia kwa wateja wetu waishio maeneo ya karibu mfano Dar es Salaam malipo yote yana paswa kupelekwa benki na kuleta tuu risiti ya benki katika ofisi zetu.

Zifutazo ni gharama za Vifaa vya Ujenzi:
Mashine ya kufyatulia matofali ya kufungamana ni sh 650,000/-
Mashine ya Vigae mkonge ni sh 250,000/-
Kalibu za vigae (moulds) ni sh 25,000/-@

Kwa taarifa Zaidi tembelea tovuti yetu
http://www.nhbra.go.tz/howdo/5

Au piga simu
+255 679 972 715

No comments:

Post a Comment