Monday 30 July 2018

WAFANYAKAZI WA NHBRA WAONGEZEWA UWEZO

NHBRA ilipata nafasi ya kuhudhuria semina ya Uhamasishaji kwa watumishi ili kusaidia katika kuongeza ufanisi katika majukumu ya kila siku wawapo kazini. Mada mbalimbali zilitolewa mfano namna ya Utendaji kazi Serikalini, maadili katika Utumishi wa Umma n.k. Semina hiyo ilifanyika katika ukumbi wa UDBS-UDSM.
Semina hiyo ilihudhuriwa na watoa mada kutoka Utumishi ya Umma pamoja na Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

HABARI PICHA

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHBRA akitoa hotuba ya ufunguzi kwenye semina ya uhamasishaji kwa watumishi wa Wakala kwenye ukumbi wa UDBS-UDSM


Kaimu Meneja wa Biashara na Utawala wa NHBRA Bi. Hadija Maloya akitoa ufafanuzi juu ya huduma zitolewazo katika kitengo cha Biashara




No comments:

Post a Comment