Sunday 17 April 2016

TAARIFA KWA WADAU WETU WOTE

Wapendwa mashabiki na wadau wa blog hii, tunaomba radhi kwa kutoruisha habari kwa muda mrefu, hali hiyo ilitokana na matatizo ambayo yalikuwa juu ya uwezo wetu. sasa tumerudi tutaendelea kuelimishana kuhusu masuala ya utafiti na ujenzi wa gharama nafuu kwa kutumia teknolojia rahisi kabisa ya ujenzi wa nyumba. Nyote mnakaribishwa.

No comments:

Post a Comment