NHBRA hatukuwa nyuma katika maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani yaliyofanyika jana tarehe 8/03/2018 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
Kauli mbio ya maadhimisho hayo ni ''kuelekea uchumi wa viwanda tuimarishe usawa wa jinsia na uwezeshaji wa wanawake vijijini na mijini''.
HABARI PICHA
No comments:
Post a Comment