Wednesday 28 December 2016

MWONEKANO WA NYUMBA ZA MATOFALI YA KUFUNGAMANA KWENYE BAADHI YA MIKOA TANZANIA


NHBRA ilipata nafasi ya kuwatembelea mafundi waliopata elimu ya ujenzi wa nyumba bora za gharama nafuu kwenye baadhi ya mikoa Tanzania ili kuangalia kama wametimiza viwango vinavyotakiwa katika ujenzi huo.
Zifuatazo ni baadhi ya picha za Nyumba hizo katika Mkoa wa Morogoro, Tanga na Pwani
Mwonekano wa mbele wa moja ya nyumba tulizotembelea Mkoani Morogoro Wilaya ya Turiani
Mwonekano kwa nyuma ya nyumba hiyo

Nyumba za kupanga zilizojengwa kwa kutumia matofali za kufungumana Wilayani Turiani

Mwonekano wa mbele ya nyumba Wilaya ya Turiani
Wafanyakazi wa NHBRA wakiangalia nyumba hiyo kama imejengwa kwa ustadi unaohitajika
Mwonekano wa nyumba ya kupanga iliyogawanywa katika sehemu mbili ambayo ina vyumba viwili vya kulala kila upande pamoja na sebule wilaya ya Turiani
Mwonekano wa mbele ya nyumba iliyojengwa kwa ustadi Wilaya ya Rufiji
Mwonekano wa nyuma ya nyumba hiyo
Baadhi wa wafanyakazi wa NHBRA, mafundi wa ujenzi pamoja na mmiliki wa nyumba hiyo wakifurahia jambo kwa pamoja
 


Mwonekano wa mbele ya nyumba iliyopo Mkoani Tanga
Mwonekano wa nyuma ya nyumba iliyopo Mkoani Tanga

 

1 comment:

  1. hamasa imeanza kuingia na kutandawaa kwa wajenzi wa nyumba, na hasa wameonekana wakikimbilia kwenye kupunguzagharama za ujenzi. nhbra iimarishe tafiti Zaidi ili kimbilio hilo la wananchi liwe la uhakika na matarajio yao yatimie. WAMETHUBUTU, WAMEFANYA NA WAMEWEZA. hongereni wananchi kwa kuchagua kilichobora Zaidi kwa gharama nafuu.

    ReplyDelete