Friday 2 December 2016

BARAZA LA WAFANYAKAZI NHBRA

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi NHBRA wakiwa kwenye kikao cha kujadili mambo mbalimbali yahusuyo utendaji wenye tija na namna ya kuboresha utendaji huo. kikao hicho kimefanyika leo tarehe 2/12/2016.
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi NHBRA wakijiandaa kuimba wimbo wa mshikakano pamoja na Mgeni Rasmi, Bw. Victor Kategere (Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu-Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi).
 
Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Eng. Twwimanye John akiwakaribisha wajumbe waliohudhuria kikao hicho

Mwenyekiti wa Baraza (Mkurugenzi Mkuu- NHBRA) Dkt. Matiko S. Mturi akimkaribisha mgeni rasmi katika kikao hicho.
 
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wakisikiliza hotuba ya Mgeni Rasmi Bw, Victor Kategere kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Mgeni Rasmi akihutubia Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la NHBRA
 
Mgeni Rasmi akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi mapema leo tarehe 2/12/2016 NHBRA-Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment